Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa maana wao ni taifa ambalo juu yake shauri huangamia,+

      Na katikati yao hamna uelewaji.+

  • Zaburi 32:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Msijifanye kama farasi au nyumbu wasio na uelewaji,+

      Ambao roho yao yenye nguvu huzuiwa na hatamu au lijamu+

      Kabla wao hawajakukaribia wewe.”+

  • Waroma 1:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na kama vile ambavyo hawakukubali kumjua Mungu katika ujuzi sahihi,+ Mungu aliwaacha katika hali ya akili iliyokataliwa,+ ili wafanye mambo yasiyofaa,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki