Kumbukumbu la Torati 32:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana wao ni taifa ambalo juu yake shauri huangamia,+Na katikati yao hamna uelewaji.+ Zaburi 32:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Msijifanye kama farasi au nyumbu wasio na uelewaji,+Ambao roho yao yenye nguvu huzuiwa na hatamu au lijamu+Kabla wao hawajakukaribia wewe.”+ Waroma 1:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na kama vile ambavyo hawakukubali kumjua Mungu katika ujuzi sahihi,+ Mungu aliwaacha katika hali ya akili iliyokataliwa,+ ili wafanye mambo yasiyofaa,+
9 Msijifanye kama farasi au nyumbu wasio na uelewaji,+Ambao roho yao yenye nguvu huzuiwa na hatamu au lijamu+Kabla wao hawajakukaribia wewe.”+
28 Na kama vile ambavyo hawakukubali kumjua Mungu katika ujuzi sahihi,+ Mungu aliwaacha katika hali ya akili iliyokataliwa,+ ili wafanye mambo yasiyofaa,+