Methali 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ewe mwanangu, usikatae nidhamu ya Yehova;+ wala usichukie karipio lake,+ Methali 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Shika nidhamu;+ usiiache.+ Ilinde, kwa maana hiyo ndiyo uzima wako.+ Methali 23:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Elekeza moyo wako kwenye nidhamu na sikio lako kwenye maneno ya ujuzi.+