5 bali mmesahau kabisa lile himizo ambalo linasema nanyi kama wana:+ “Mwanangu, usiipuuze nidhamu kutoka kwa Yehova, wala usizimie wakati anapokurekebisha;+
11 Ni kweli, hakuna nidhamu inayoonekana kwa sasa kuwa yenye shangwe, bali ni yenye kuhuzunisha;+ lakini baadaye kwa wale ambao wamezoezwa nayo hiyo huzaa tunda lenye kufanya amani,+ yaani, uadilifu.+