15 Na zile zilizo kwenye udongo mzuri, hawa ndio ambao, baada ya kusikia lile neno kwa moyo+ mzuri na mwema, hulihifadhi na kuzaa matunda kwa uvumilivu.+
2 na mambo uliyoyasikia kutoka kwangu kwa uthibitisho wa mashahidi wengi,+ mambo hayo uwakabidhi watu waaminifu, ambao nao watakuwa na sifa za kustahili vya kutosha kufundisha wengine.+