Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 13:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na yule aliyepandwa juu ya udongo mzuri, huyo ndiye anayelisikia neno na kuelewa maana yake, ambaye kwa kweli huzaa matunda na kutokeza, huyu mara 100, yule 60, yule mwingine 30.”+

  • Marko 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mwishowe, wale waliopandwa kwenye udongo mzuri ndio wale wanaolisikiliza neno na kulipokea vizuri na kuzaa matunda mara 30 na 60 na 100.”+

  • Waebrania 10:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa maana mnahitaji kuwa na uvumilivu,+ ili kwamba, baada ya kufanya mapenzi ya Mungu,+ mpokee utimizo wa ile ahadi.+

  • Ufunuo 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa sababu ulilishika neno juu ya uvumilivu+ wangu, mimi pia nitakulinda+ kutokana na ile saa ya jaribu itakayokuja juu ya dunia nzima inayokaliwa, ili kuwatia katika jaribu wale wanaokaa duniani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki