15 Na zile zilizo kwenye udongo mzuri, hawa ndio ambao, baada ya kusikia lile neno kwa moyo+ mzuri na mwema, hulihifadhi na kuzaa matunda kwa uvumilivu.+
3 Kwa kweli, mfikirieni sana yeye ambaye amevumilia maneno ya aina hii yenye kupinga+ yanayotolewa na watenda-dhambi kinyume cha faida zao wenyewe, ili ninyi msichoke na kuzimia katika nafsi zenu.+