2 Mambo ya Nyakati 15:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nanyi iweni hodari+ na msiache mikono yenu ilegee,+ kwa sababu kuna thawabu kwa ajili ya kazi yenu.”+ Waroma 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na si hilo tu, bali na tufurahi tukiwa katika dhiki,+ kwa kuwa tunajua kwamba dhiki hutokeza uvumilivu;+ Waebrania 10:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa maana mnahitaji kuwa na uvumilivu,+ ili kwamba, baada ya kufanya mapenzi ya Mungu,+ mpokee utimizo wa ile ahadi.+ 2 Petro 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 kwenye ujuzi wenu kujizuia, kwenye kujizuia+ kwenu uvumilivu, kwenye uvumilivu wenu ujitoaji-kimungu,+
7 Nanyi iweni hodari+ na msiache mikono yenu ilegee,+ kwa sababu kuna thawabu kwa ajili ya kazi yenu.”+
3 Na si hilo tu, bali na tufurahi tukiwa katika dhiki,+ kwa kuwa tunajua kwamba dhiki hutokeza uvumilivu;+
36 Kwa maana mnahitaji kuwa na uvumilivu,+ ili kwamba, baada ya kufanya mapenzi ya Mungu,+ mpokee utimizo wa ile ahadi.+
6 kwenye ujuzi wenu kujizuia, kwenye kujizuia+ kwenu uvumilivu, kwenye uvumilivu wenu ujitoaji-kimungu,+