23 Na yule aliyepandwa juu ya udongo mzuri, huyo ndiye anayelisikia neno na kuelewa maana yake, ambaye kwa kweli huzaa matunda na kutokeza, huyu mara 100, yule 60, yule mwingine 30.”+
4 Hivyo, ndugu zangu, ninyi pia mlifanywa wafu kuhusiana na Sheria+ kupitia mwili wa Kristo, ili muwe wa mwingine,+ muwe wa yule aliyefufuliwa kutoka kwa wafu,+ ili tumzalie Mungu matunda.+
10 ili mtembee kwa kumstahili+ Yehova+ kwa kusudi la kumpendeza yeye kikamili mnapoendelea kuzaa matunda katika kila kazi njema+ na kuongezeka katika ujuzi sahihi+ wa Mungu,
8 Kwa maana mambo hayo yakikaa ndani yenu na kufurika, yatawazuia kuwa ama wasiotenda au wasiozaa matunda+ kuhusiana na ujuzi sahihi juu ya Bwana wetu Yesu Kristo.