Kumbukumbu la Torati 32:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Kwa maana hilo si neno lisilo na thamani kwenu,+ bali linamaanisha uhai wenu,+ na kwa neno hili mnaweza kurefusha siku zenu juu ya udongo ambao mnavuka Yordani ili kuumiliki.”+ Methali 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 nazo zitakuwa uzima kwa nafsi yako+ na kitu chenye kuvutia shingoni pako.+
47 Kwa maana hilo si neno lisilo na thamani kwenu,+ bali linamaanisha uhai wenu,+ na kwa neno hili mnaweza kurefusha siku zenu juu ya udongo ambao mnavuka Yordani ili kuumiliki.”+