16 Andiko lote limeongozwa na roho ya Mungu+ nalo ni lenye faida kwa kufundisha,+ kwa kukaripia,+ kwa kunyoosha mambo,+ kwa kutia nidhamu+ katika uadilifu,
12 Kwa maana neno+ la Mungu liko hai+ nalo lina nguvu+ na ni lenye makali zaidi kuliko upanga wowote wenye makali kuwili+ nalo huchoma hata kufikia kugawanya nafsi+ na roho,+ na viungo na urojorojo wake, nalo linaweza kutambua fikira na makusudio ya moyo.+