12 Ikiwa utasema: “Tazama! Hatukujua hili,”+ je, yule anayeipima mioyo hatatambua hilo,+ na yule anayeichunguza nafsi yako mwenyewe hatajua+ hilo naye hakika hatamlipa mtu wa udongo kulingana na utendaji wake?+
5 Kwa hiyo msihukumu+ kitu chochote kabla ya wakati unaofaa, mpaka Bwana aje,+ atakayeyaleta kwenye nuru mambo ya siri yaliyo ya giza+ na pia kuyafunua mashauri ya mioyo,+ na ndipo kila mtu atakapopata sifa yake kutoka kwa Mungu.+