Methali 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nawe utalazimika kusema: “Nimechukia nidhamu+ kama nini nao moyo wangu umedharau karipio+ kama nini! Methali 15:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nidhamu ni mbaya kwa mtu anayeiacha njia;+ mtu yeyote anayechukia karipio atakufa.+ 2 Timotheo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 nao watageuza masikio yao kutoka kwenye kweli, nao watageuzwa kando kufuata hadithi za uwongo.+ Waebrania 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Angalieni kwamba msimkatae yeye anayesema.+ Kwa maana ikiwa hawakuponyoka, wale waliomkataa yeye aliyekuwa akitoa onyo la kimungu duniani,+ sisi hatutaponyoka hata kidogo tukigeukia mbali kutoka kwake yeye anayesema kutoka mbinguni.+
12 Nawe utalazimika kusema: “Nimechukia nidhamu+ kama nini nao moyo wangu umedharau karipio+ kama nini!
25 Angalieni kwamba msimkatae yeye anayesema.+ Kwa maana ikiwa hawakuponyoka, wale waliomkataa yeye aliyekuwa akitoa onyo la kimungu duniani,+ sisi hatutaponyoka hata kidogo tukigeukia mbali kutoka kwake yeye anayesema kutoka mbinguni.+