Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 15:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa sababu ni neno la Yehova ambalo amedharau+ na ni amri yake ambayo amevunja,+ nafsi hiyo lazima itakatiliwa mbali.+ Kosa lake mwenyewe liko juu yake.’”+

  • Hesabu 18:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na wana wa Israeli wasikaribie tena hema la mkutano wasije wakawa na hatia ya dhambi na kufa.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+

  • 1 Samweli 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na dhambi ya watumishi hao ikaja kuwa kubwa sana mbele za Yehova;+ kwa kuwa watu hao hawakuliheshimu toleo la Yehova.+

  • 1 Samweli 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na hiyo ndiyo sababu nimeiapia nyumba ya Eli kwamba adhabu ya kosa la nyumba ya Eli haitaondolewa kwa dhabihu wala kwa toleo mpaka wakati usio na kipimo.”+

  • 2 Wafalme 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa sababu wameniacha na kwenda kuifukizia moshi wa dhabihu miungu mingine+ ili kunitia uchungu kwa kazi zote za mikono yao,+ na ghadhabu yangu imewashwa juu ya mahali hapa wala haitazimwa.’”’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki