Hesabu 16:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 kuwa ukumbusho kwa wana wa Israeli, kusudi mgeni+ yeyote ambaye si uzao wa Haruni asikaribie ili kufukiza uvumba mbele za Yehova,+ wala yeyote asiwe kama Kora na kusanyiko lake,+ kama vile Yehova alivyokuwa amesema naye kupitia Musa. Hesabu 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtu yeyote anayekaribia,+ anayekuja karibu na maskani ya Yehova, atakufa!+ Je, ni lazima tukate pumzi kwa njia hii?”+
40 kuwa ukumbusho kwa wana wa Israeli, kusudi mgeni+ yeyote ambaye si uzao wa Haruni asikaribie ili kufukiza uvumba mbele za Yehova,+ wala yeyote asiwe kama Kora na kusanyiko lake,+ kama vile Yehova alivyokuwa amesema naye kupitia Musa.
13 Mtu yeyote anayekaribia,+ anayekuja karibu na maskani ya Yehova, atakufa!+ Je, ni lazima tukate pumzi kwa njia hii?”+