Hesabu 1:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Na wakati maskani hiyo inapoondoka, Walawi wataishusha; na wakati maskani hiyo inapopiga kambi,+ Walawi wataisimamisha; na mgeni yeyote anayekaribia anapaswa kuuawa.+ Hesabu 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nao wataungana nawe na watashika wajibu wao kwa hema la mkutano kuhusu utumishi wote wa hema, wala mgeni yeyote asiwakaribie ninyi.+
51 Na wakati maskani hiyo inapoondoka, Walawi wataishusha; na wakati maskani hiyo inapopiga kambi,+ Walawi wataisimamisha; na mgeni yeyote anayekaribia anapaswa kuuawa.+
4 Nao wataungana nawe na watashika wajibu wao kwa hema la mkutano kuhusu utumishi wote wa hema, wala mgeni yeyote asiwakaribie ninyi.+