Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 16:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ndipo akasema na kusanyiko, na kuwaambia: “Geukeni kando, tafadhali, kutoka mbele ya mahema ya watu hawa waovu wala msiguse chochote kilicho chao,+ msije mkafagiliwa mbali katika dhambi yao yote.”

  • Hesabu 16:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Na kesho yake kusanyiko lote la wana wa Israeli likaanza kunung’unika juu ya Musa na Haruni,+ na kusema: “Ninyi, ninyi mmewaua watu wa Yehova.”

  • Hesabu 16:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Nao waliokufa kutokana na tauni hiyo wakajumlika kuwa elfu kumi na nne na mia saba, mbali na wale waliokufa kwa sababu ya Kora.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki