Hesabu 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na wana wote wa Israeli wakaanza kunung’unika juu ya Musa na Haruni,+ na kusanyiko lote likaanza kusema dhidi yao: “Laiti tungalikufa katika nchi ya Misri, au laiti tungalikufa katika nyika hii! Zaburi 106:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Upesi wakasahau kazi zake;+Hawakungojea shauri lake.+ 2 Petro 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 hasa wale ambao huufuata mwili wakiwa na tamaa ya kuutia unajisi+ na ambao hudharau mamlaka.+ Ni wajasiri, washupavu, hawatetemeki mbele ya watukufu bali hutukana,+
2 Na wana wote wa Israeli wakaanza kunung’unika juu ya Musa na Haruni,+ na kusanyiko lote likaanza kusema dhidi yao: “Laiti tungalikufa katika nchi ya Misri, au laiti tungalikufa katika nyika hii!
10 hasa wale ambao huufuata mwili wakiwa na tamaa ya kuutia unajisi+ na ambao hudharau mamlaka.+ Ni wajasiri, washupavu, hawatetemeki mbele ya watukufu bali hutukana,+