Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Nao watu wakaanza kunung’unika juu ya Musa,+ na kusema: “Tutakunywa nini?”

  • Kutoka 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nalo kusanyiko zima la wana wa Israeli likaanza kunung’unika juu ya Musa na Haruni huko nyikani.+

  • Kutoka 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi akapaita mahali hapo jina Masa+ na Meriba,+ kwa sababu ya kugombana kwa wana wa Israeli na kwa sababu ya kumjaribu Yehova,+ na kusema: “Je, Yehova yuko katikati yetu au hapana?”+

  • Zaburi 78:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Pia wakaanza kusahau matendo yake+

      Na kazi zake za ajabu alizowafanya waone.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki