Kutoka 15:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nao watu wakaanza kunung’unika juu ya Musa,+ na kusema: “Tutakunywa nini?” Kutoka 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nalo kusanyiko zima la wana wa Israeli likaanza kunung’unika juu ya Musa na Haruni huko nyikani.+ Kutoka 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi akapaita mahali hapo jina Masa+ na Meriba,+ kwa sababu ya kugombana kwa wana wa Israeli na kwa sababu ya kumjaribu Yehova,+ na kusema: “Je, Yehova yuko katikati yetu au hapana?”+ Zaburi 78:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Pia wakaanza kusahau matendo yake+Na kazi zake za ajabu alizowafanya waone.+
7 Basi akapaita mahali hapo jina Masa+ na Meriba,+ kwa sababu ya kugombana kwa wana wa Israeli na kwa sababu ya kumjaribu Yehova,+ na kusema: “Je, Yehova yuko katikati yetu au hapana?”+