3 Na watu wakaendelea kuwa na kiu ya maji wakiwa huko, na watu wakaendelea kunung’unika juu ya Musa na kusema: “Kwa nini umetutoa Misri ili kutuua kwa kiu sisi na wana wetu na mifugo yetu?”+
11Sasa watu wakawa kama watu wenye jambo baya la kulalamika masikioni mwa Yehova.+ Yehova alipolisikia jambo hilo, hasira yake ikawaka, nao moto wa Yehova ukaanza kuwaka juu yao na kuteketeza wengine kati yao katika mwisho wa kambi.+
16 Watu hawa ni wanung’unikaji,+ walalamikaji juu ya fungu lao maishani, wakiendelea kulingana na tamaa zao wenyewe,+ na vinywa vyao husema mambo ya kujigamba,+ huku wakisifu kwa kustaajabia watu mashuhuri+ kwa ajili ya faida yao wenyewe.