Zaburi 78:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ndiyo sababu Yehova alisikia, akaanza kuwa na ghadhabu;+Na moto ukawashwa juu ya Yakobo,+Na hasira pia ikapanda juu ya Israeli.+ Zaburi 106:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na moto ukawaka katikati ya kusanyiko lao;+Mwali wa moto ukawateketeza waovu.+
21 Ndiyo sababu Yehova alisikia, akaanza kuwa na ghadhabu;+Na moto ukawashwa juu ya Yakobo,+Na hasira pia ikapanda juu ya Israeli.+