Hesabu 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na Musa akawasikia watu wakilia katika familia zao, kila mtu kwenye mwingilio wa hema lake. Na hasira ya Yehova ikaanza kuwaka sana,+ na machoni pa Musa lilikuwa jambo baya.+ 1 Wakorintho 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hata hivyo, Mungu hakuonyesha kibali+ chake juu ya walio wengi kati yao, kwa maana waliangamizwa+ nyikani.
10 Na Musa akawasikia watu wakilia katika familia zao, kila mtu kwenye mwingilio wa hema lake. Na hasira ya Yehova ikaanza kuwaka sana,+ na machoni pa Musa lilikuwa jambo baya.+
5 Hata hivyo, Mungu hakuonyesha kibali+ chake juu ya walio wengi kati yao, kwa maana waliangamizwa+ nyikani.