Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Sasa watu wakawa kama watu wenye jambo baya la kulalamika masikioni mwa Yehova.+ Yehova alipolisikia jambo hilo, hasira yake ikawaka, nao moto wa Yehova ukaanza kuwaka juu yao na kuteketeza wengine kati yao katika mwisho wa kambi.+

  • Kumbukumbu la Torati 32:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana moto umewashwa katika hasira yangu+

      Nao utateketeza mpaka katika Kaburi,* mahali pa chini zaidi,+

      Nao utateketeza dunia na mazao yake+

      Nao utawasha misingi ya milima.+

  • Zaburi 78:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndiyo sababu Yehova alisikia, akaanza kuwa na ghadhabu;+

      Na moto ukawashwa juu ya Yakobo,+

      Na hasira pia ikapanda juu ya Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki