Hesabu 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Sasa watu wakawa kama watu wenye jambo baya la kulalamika masikioni mwa Yehova.+ Yehova alipolisikia jambo hilo, hasira yake ikawaka, nao moto wa Yehova ukaanza kuwaka juu yao na kuteketeza wengine kati yao katika mwisho wa kambi.+ Kumbukumbu la Torati 32:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana moto umewashwa katika hasira yangu+Nao utateketeza mpaka katika Kaburi,* mahali pa chini zaidi,+Nao utateketeza dunia na mazao yake+Nao utawasha misingi ya milima.+ Zaburi 78:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ndiyo sababu Yehova alisikia, akaanza kuwa na ghadhabu;+Na moto ukawashwa juu ya Yakobo,+Na hasira pia ikapanda juu ya Israeli.+
11 Sasa watu wakawa kama watu wenye jambo baya la kulalamika masikioni mwa Yehova.+ Yehova alipolisikia jambo hilo, hasira yake ikawaka, nao moto wa Yehova ukaanza kuwaka juu yao na kuteketeza wengine kati yao katika mwisho wa kambi.+
22 Kwa maana moto umewashwa katika hasira yangu+Nao utateketeza mpaka katika Kaburi,* mahali pa chini zaidi,+Nao utateketeza dunia na mazao yake+Nao utawasha misingi ya milima.+
21 Ndiyo sababu Yehova alisikia, akaanza kuwa na ghadhabu;+Na moto ukawashwa juu ya Yakobo,+Na hasira pia ikapanda juu ya Israeli.+