Kutoka 15:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nao watu wakaanza kunung’unika juu ya Musa,+ na kusema: “Tutakunywa nini?” Zaburi 106:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nao wakaendelea kunung’unika katika mahema yao;+Hawakuisikiliza sauti ya Yehova.+ 1 Wakorintho 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wala tusiwe wanung’unikaji, kama baadhi yao walivyonung’unika,+ na kuangamizwa na mwangamizaji.+