Zaburi 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kinywa chake kimejaa viapo na udanganyifu na ukandamizaji.+Chini ya ulimi wake kuna taabu na mambo yenye kuumiza.+ Mathayo 12:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Uzao wa nyoka-vipiri,+ mnawezaje kusema mambo mema, wakati ninyi ni waovu?+ Kwa maana kinywa kinasema kutokana na mambo yaliyojaa katika moyo.+ Matendo 20:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 na kutoka katikati yenu ninyi wenyewe watu watasimama na kusema mambo yaliyopotoka+ ili kuwavuta wanafunzi wawafuate wao wenyewe.+ Yakobo 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi, ulimi ni moto.+ Ulimi ni ulimwengu wa ukosefu wa uadilifu kati ya viungo vyetu, kwa maana huutia doa mwili+ wote na kuuwasha moto mzunguko wa uhai wa asili nao huwashwa moto na Gehena.*
7 Kinywa chake kimejaa viapo na udanganyifu na ukandamizaji.+Chini ya ulimi wake kuna taabu na mambo yenye kuumiza.+
34 Uzao wa nyoka-vipiri,+ mnawezaje kusema mambo mema, wakati ninyi ni waovu?+ Kwa maana kinywa kinasema kutokana na mambo yaliyojaa katika moyo.+
30 na kutoka katikati yenu ninyi wenyewe watu watasimama na kusema mambo yaliyopotoka+ ili kuwavuta wanafunzi wawafuate wao wenyewe.+
6 Basi, ulimi ni moto.+ Ulimi ni ulimwengu wa ukosefu wa uadilifu kati ya viungo vyetu, kwa maana huutia doa mwili+ wote na kuuwasha moto mzunguko wa uhai wa asili nao huwashwa moto na Gehena.*