9 “Umetenda dhambi+ kuanzia siku za Gibea,+ Ee Israeli. Huko walisimama tuli. Vita juu ya wana wenye kukosa uadilifu katika Gibea havikupata kuwafikia.+
19 Wakiisha kuishiwa na ufahamu wote wa maadili,+ walijitoa wenyewe ili kuwa na mwenendo mpotovu+ na kufanya ukosefu wa usafi+ wa kila namna kwa pupa.+