16 Na Sauli na Yonathani mwana wake na watu waliokuwa bado pamoja nao walikuwa wakikaa katika Geba+ la Benyamini. Nao Wafilisti walikuwa wamepiga kambi katika Mikmashi.+
60 na kutoka katika kabila la Benyamini, Geba+ pamoja na viwanja vyake vya malisho na Alemethi+ pamoja na viwanja vyake vya malisho na Anathothi+ pamoja na viwanja vyake vya malisho. Majiji yao yote yalikuwa majiji kumi na matatu+ kati ya familia zao.