17 Ndipo wana wa Israeli wakaondoka na kwenda katika majiji ya watu hao siku ya tatu, na majiji yao yalikuwa Gibeoni+ na Kefira+ na Beerothi+ na Kiriath-yearimu.+
29 Lakini ile maskani ya Yehova ambayo Musa alikuwa ameitengeneza katika nyika na ile madhabahu ya toleo la kuteketezwa, vilikuwa wakati huo katika mahali pa juu kule Gibeoni.+