Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 15:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha mpaka huo ulitiwa alama kutoka kilele cha mlima hadi kwenye bubujiko la maji ya Neftoa,+ ukaenda kwenye majiji ya Mlima Efroni; na mpaka huo ulitiwa alama hadi Baala,+ yaani, Kiriath-yearimu.+

  • Yoshua 18:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na mpaka huo ukatiwa alama na kuzunguka upande wa magharibi kuelekea kusini kutoka katika mlima unaoelekeana na Beth-horoni upande wa kusini; na mwisho wake ukawa katika Kiriath-baali, yaani, Kiriath-yearimu,+ jiji la wana wa Yuda. Huo ndio upande wa magharibi.

  • 1 Samweli 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi watu wa Kiriath-yearimu+ wakaja, nao wakalipandisha sanduku la Yehova na kuliingiza katika nyumba ya Abinadabu+ juu ya kilima, nao wakamtakasa Eleazari mwana wake ili alinde sanduku la Yehova.

  • 1 Mambo ya Nyakati 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi Daudi akakusanya+ Israeli wote kuanzia mto wa Misri+ mpaka maingilio ya Hamathi,+ ili kulileta sanduku+ la Mungu wa kweli kutoka Kiriath-yearimu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki