9 Kisha mpaka huo ulitiwa alama kutoka kilele cha mlima hadi kwenye bubujiko la maji ya Neftoa,+ ukaenda kwenye majiji ya Mlima Efroni; na mpaka huo ulitiwa alama hadi Baala,+ yaani, Kiriath-yearimu.+
2 Kisha Daudi na watu wote waliokuwa pamoja naye wakaondoka, wakaenda Baale-yuda+ ili kuleta kutoka hapo sanduku+ la Mungu wa kweli, ambalo juu yake jina+ limeitwa, jina la Yehova wa majeshi,+ anayeketi juu ya makerubi.+
6 Na Daudi na Israeli wote wakapanda kwenda mpaka Baala,+ Kiriath-yearimu katika Yuda, ili kuleta kutoka huko sanduku la Mungu wa kweli, Yehova, anayekaa juu ya makerubi,+ ambalo jina lake limeitwa juu yake.