1 Samweli 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na ikawa kwamba tangu siku ambayo hilo Sanduku lilikaa katika Kiriath-yearimu, siku zikaendelea kuongezeka, nazo zikawa jumla ya miaka 20, na nyumba yote ya Israeli wakamwombolezea Yehova.+
2 Na ikawa kwamba tangu siku ambayo hilo Sanduku lilikaa katika Kiriath-yearimu, siku zikaendelea kuongezeka, nazo zikawa jumla ya miaka 20, na nyumba yote ya Israeli wakamwombolezea Yehova.+