28 “Lakini mara tu walipopata kupumzika, wakatenda tena mabaya mbele zako,+ nawe ukawaacha mkononi mwa adui zao, ambao waliwakanyagia chini.+ Kisha wakawa wanarudi na kukulilia wapate msaada,+ nawe ukasikia kutoka mbinguni kwenyewe+ na kuwakomboa kulingana na rehema zako nyingi, tena na tena.+