Waamuzi 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi Yehova akawauza+ mkononi mwa Yabini mfalme wa Kanaani, aliyetawala katika Hasori;+ na mkuu wa jeshi lake alikuwa ni Sisera,+ naye alikuwa anakaa Haroshethi+ ya mataifa. Waamuzi 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo wana wa Israeli wakaanza kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+ Basi Yehova akawatia mkononi mwa Midiani+ kwa miaka saba.
2 Basi Yehova akawauza+ mkononi mwa Yabini mfalme wa Kanaani, aliyetawala katika Hasori;+ na mkuu wa jeshi lake alikuwa ni Sisera,+ naye alikuwa anakaa Haroshethi+ ya mataifa.
6 Ndipo wana wa Israeli wakaanza kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+ Basi Yehova akawatia mkononi mwa Midiani+ kwa miaka saba.