1 Mambo ya Nyakati 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Daudi na Waisraeli wote wakapanda kwenda Baala,+ mpaka Kiriath-yearimu, jiji la Yuda, ili kuleta kutoka huko Sanduku la Mungu wa kweli, Yehova, anayeketi kwenye kiti cha ufalme juu ya* makerubi,+ mahali ambapo watu husali katika jina lake.
6 Daudi na Waisraeli wote wakapanda kwenda Baala,+ mpaka Kiriath-yearimu, jiji la Yuda, ili kuleta kutoka huko Sanduku la Mungu wa kweli, Yehova, anayeketi kwenye kiti cha ufalme juu ya* makerubi,+ mahali ambapo watu husali katika jina lake.