Yoshua 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na upande wa kusini ulikuwa ni kutoka mwisho wa Kiriath-yearimu, na mpaka huo ukaelekea upande wa magharibi na kuelekea kwenye bubujiko la maji ya Neftoa.+
15 Na upande wa kusini ulikuwa ni kutoka mwisho wa Kiriath-yearimu, na mpaka huo ukaelekea upande wa magharibi na kuelekea kwenye bubujiko la maji ya Neftoa.+