Yoshua 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kisha mpaka huo ulitiwa alama kutoka kilele cha mlima hadi kwenye bubujiko la maji ya Neftoa,+ ukaenda kwenye majiji ya Mlima Efroni; na mpaka huo ulitiwa alama hadi Baala,+ yaani, Kiriath-yearimu.+
9 Kisha mpaka huo ulitiwa alama kutoka kilele cha mlima hadi kwenye bubujiko la maji ya Neftoa,+ ukaenda kwenye majiji ya Mlima Efroni; na mpaka huo ulitiwa alama hadi Baala,+ yaani, Kiriath-yearimu.+