Kutoka 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nilikuwa nikimtokea Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo+ kama Mungu Mweza-Yote,+ lakini kuhusu jina langu Yehova+ sikujifanya nijulikane+ kwao. Mambo ya Walawi 24:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye yule mwana wa mwanamke Mwisraeli akaanza kulitukana lile Jina+ na kulilaani.+ Basi wakamleta kwa Musa.+ Basi jina la mama yake lilikuwa Shelomithi, binti ya Dibri wa kabila la Dani. Isaya 42:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu;+ nami sitampa mwingine yeyote utukufu wangu mwenyewe,+ wala sitazipa+ sanamu za kuchongwa sifa yangu.+
3 Nami nilikuwa nikimtokea Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo+ kama Mungu Mweza-Yote,+ lakini kuhusu jina langu Yehova+ sikujifanya nijulikane+ kwao.
11 Naye yule mwana wa mwanamke Mwisraeli akaanza kulitukana lile Jina+ na kulilaani.+ Basi wakamleta kwa Musa.+ Basi jina la mama yake lilikuwa Shelomithi, binti ya Dibri wa kabila la Dani.
8 “Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu;+ nami sitampa mwingine yeyote utukufu wangu mwenyewe,+ wala sitazipa+ sanamu za kuchongwa sifa yangu.+