Zaburi 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee Yehova Bwana wetu, jina lako ni lenye utukufu kama nini katika dunia yote,+Wewe ambaye utukufu wako unasimuliwa juu ya mbingu!+ Zaburi 83:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ili watu wajue+ kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi,+ juu ya dunia yote.+ Hosea 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na Yehova Mungu wa majeshi,+ Yehova ni ukumbusho wake.+
8 Ee Yehova Bwana wetu, jina lako ni lenye utukufu kama nini katika dunia yote,+Wewe ambaye utukufu wako unasimuliwa juu ya mbingu!+
18 Ili watu wajue+ kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi,+ juu ya dunia yote.+