1 Samweli 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mwishowe wakatuma wajumbe kwa wakaaji wa Kiriath-yearimu,+ wakisema: “Wafilisti wamelirudisha sanduku la Yehova. Shukeni. Mlichukue na kulipandisha kwenu.”+
21 Mwishowe wakatuma wajumbe kwa wakaaji wa Kiriath-yearimu,+ wakisema: “Wafilisti wamelirudisha sanduku la Yehova. Shukeni. Mlichukue na kulipandisha kwenu.”+