Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 18:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na mpaka huo ukatiwa alama na kuzunguka upande wa magharibi kuelekea kusini kutoka katika mlima unaoelekeana na Beth-horoni upande wa kusini; na mwisho wake ukawa katika Kiriath-baali, yaani, Kiriath-yearimu,+ jiji la wana wa Yuda. Huo ndio upande wa magharibi.

  • Waamuzi 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nao wakaondoka, wakapanda, wakapiga kambi huko Kiriath-yearimu+ katika Yuda. Ndiyo sababu wamepaita mahali hapo Mahane-dani+ mpaka leo hii. Tazama! Pako upande wa magharibi wa Kiriath-yearimu.

  • 1 Mambo ya Nyakati 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi Daudi akakusanya+ Israeli wote kuanzia mto wa Misri+ mpaka maingilio ya Hamathi,+ ili kulileta sanduku+ la Mungu wa kweli kutoka Kiriath-yearimu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki