6 Na Daudi na Israeli wote wakapanda kwenda mpaka Baala,+ Kiriath-yearimu katika Yuda, ili kuleta kutoka huko sanduku la Mungu wa kweli, Yehova, anayekaa juu ya makerubi,+ ambalo jina lake limeitwa juu yake.
16Hivyo wakaliingiza ndani sanduku la Mungu wa kweli+ na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+
4 Hata hivyo, Daudi alikuwa amelileta sanduku+ la Mungu wa kweli kutoka Kiriath-yearimu+ mpaka mahali ambapo Daudi alikuwa amelitayarishia,+ kwa maana alikuwa amelisimamishia hema katika Yerusalemu.+