Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na Daudi na Israeli wote wakapanda kwenda mpaka Baala,+ Kiriath-yearimu katika Yuda, ili kuleta kutoka huko sanduku la Mungu wa kweli, Yehova, anayekaa juu ya makerubi,+ ambalo jina lake limeitwa juu yake.

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hivyo wakaliingiza ndani sanduku la Mungu wa kweli+ na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hata hivyo, Daudi alikuwa amelileta sanduku+ la Mungu wa kweli kutoka Kiriath-yearimu+ mpaka mahali ambapo Daudi alikuwa amelitayarishia,+ kwa maana alikuwa amelisimamishia hema katika Yerusalemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki