Mwanzo 35:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi nafsi+ yake ilipokuwa ikitoka (kwa sababu alikufa)+ akamwita jina lake Ben-oni; lakini baba yake akamwita Benyamini.+ Mwanzo 43:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Mungu Mweza-Yote na awape huruma mbele ya mtu huyo,+ ili amwachilie yule ndugu yenu mwingine na Benyamini. Lakini ikiwa nitafiwa, kwa kweli nitafiwa!”+ Mwanzo 49:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Benyamini ataendelea kurarua kama mbwa-mwitu.+ Asubuhi atakula mnyama aliyekamatwa na jioni atagawanya nyara.”+
18 Basi nafsi+ yake ilipokuwa ikitoka (kwa sababu alikufa)+ akamwita jina lake Ben-oni; lakini baba yake akamwita Benyamini.+
14 Na Mungu Mweza-Yote na awape huruma mbele ya mtu huyo,+ ili amwachilie yule ndugu yenu mwingine na Benyamini. Lakini ikiwa nitafiwa, kwa kweli nitafiwa!”+
27 “Benyamini ataendelea kurarua kama mbwa-mwitu.+ Asubuhi atakula mnyama aliyekamatwa na jioni atagawanya nyara.”+