1 Samweli 31:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na Wafilisti wakaendelea kumfuatilia kwa ukaribu sana Sauli na wanawe; na mwishowe Wafilisti wakawapiga na kuwaua Yonathani+ na Abinadabu+ na Malki-shua,+ wana wa Sauli. 1 Mambo ya Nyakati 9:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Neri+ naye akamzaa Kishi;+ naye Kishi akamzaa Sauli;+ naye Sauli akamzaa Yonathani+ na Malki-shua+ na Abinadabu+ na Eshbaali.+
2 Na Wafilisti wakaendelea kumfuatilia kwa ukaribu sana Sauli na wanawe; na mwishowe Wafilisti wakawapiga na kuwaua Yonathani+ na Abinadabu+ na Malki-shua,+ wana wa Sauli.
39 Neri+ naye akamzaa Kishi;+ naye Kishi akamzaa Sauli;+ naye Sauli akamzaa Yonathani+ na Malki-shua+ na Abinadabu+ na Eshbaali.+