Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 14:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Lakini watu wakamwambia Sauli: “Je, Yonathani afe, ambaye ametimiza wokovu+ huu mkubwa katika Israeli? Ni jambo lisilowaziwa!+ Kama anavyoishi Yehova,+ hakuna hata unywele mmoja+ wa kichwa chake utakaoanguka chini; kwa maana alifanya kazi na Mungu leo.”+ Hivyo watu wakamkomboa+ Yonathani, naye hakufa.

  • 1 Samweli 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na ikawa kwamba, mara tu alipomaliza kusema na Sauli, nafsi ya Yonathani+ ikashikamana+ na nafsi ya Daudi, na Yonathani akaanza kumpenda kama nafsi yake mwenyewe.+

  • 2 Samweli 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Sauli na Yonathani,+ watu wenye kupendwa na wenye kupendeza wakati wa maisha yao,

      Nao hawakutenganishwa katika kifo chao.+

      Walikuwa wepesi kuliko tai,+

      Walikuwa wenye nguvu kuliko simba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki