Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Zimesonga mbele kama mashua za matete,

      Kama tai ambaye huruka huku na huku kwa ajili ya chakula.+

  • Yeremia 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Tazama! Atakuja kama mawingu ya mvua, na magari yake ni kama upepo wa dhoruba.+ Farasi zake ni wepesi kuliko tai.+ Ole wetu, kwa sababu tumeporwa!

  • Maombolezo 4:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wenye kutufuatilia wamekuwa wepesi kuliko tai wa mbinguni.+

      Wametufuatilia vikali juu ya milima.+ Wametuvizia nyikani.+

  • Habakuki 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na farasi zake ni wepesi kuliko chui, nao ni wakali kuliko mbwa-mwitu wa jioni.+ Na farasi zake wa vita wamekanyaga udongo, na hao farasi zake huja kutoka mbali. Linaruka kama tai anayeharakisha kwenda kula kitu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki