Ayubu 9:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Zimesonga mbele kama mashua za matete,Kama tai ambaye huruka huku na huku kwa ajili ya chakula.+ Yeremia 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Tazama! Atakuja kama mawingu ya mvua, na magari yake ni kama upepo wa dhoruba.+ Farasi zake ni wepesi kuliko tai.+ Ole wetu, kwa sababu tumeporwa! Maombolezo 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wenye kutufuatilia wamekuwa wepesi kuliko tai wa mbinguni.+Wametufuatilia vikali juu ya milima.+ Wametuvizia nyikani.+ Habakuki 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na farasi zake ni wepesi kuliko chui, nao ni wakali kuliko mbwa-mwitu wa jioni.+ Na farasi zake wa vita wamekanyaga udongo, na hao farasi zake huja kutoka mbali. Linaruka kama tai anayeharakisha kwenda kula kitu.+
13 Tazama! Atakuja kama mawingu ya mvua, na magari yake ni kama upepo wa dhoruba.+ Farasi zake ni wepesi kuliko tai.+ Ole wetu, kwa sababu tumeporwa!
19 Wenye kutufuatilia wamekuwa wepesi kuliko tai wa mbinguni.+Wametufuatilia vikali juu ya milima.+ Wametuvizia nyikani.+
8 Na farasi zake ni wepesi kuliko chui, nao ni wakali kuliko mbwa-mwitu wa jioni.+ Na farasi zake wa vita wamekanyaga udongo, na hao farasi zake huja kutoka mbali. Linaruka kama tai anayeharakisha kwenda kula kitu.+