-
2 Mambo ya Nyakati 22:9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Kisha akamtafuta Ahazia; wakamkamata mahali alipokuwa akijificha kule Samaria na kumleta kwa Yehu. Halafu wakamuua na kumzika,+ kwa maana walisema: “Yeye ni mjukuu wa Yehoshafati, aliyemtafuta Yehova kwa moyo wake wote.”+ Hapakuwa na mtu yeyote wa nyumba ya Ahazia aliyekuwa na mamlaka ya kutawala ufalme huo.
-