-
2 Mambo ya Nyakati 22:9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Kisha akaenda kumtafuta Ahazia, na mwishowe wakamkamata,+ akiwa amejificha Samaria,+ nao wakamleta kwa Yehu. Kisha wakamuua na kumzika,+ kwa kuwa walisema: “Yeye ni mjukuu wa Yehoshafati,+ aliyemtafuta Yehova kwa moyo wake wote.”+ Na hapakuwa na yeyote wa nyumba ya Ahazia wa kushika mamlaka ya ufalme huo.
-