-
2 Wafalme 9:27, 28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
27 Mfalme Ahazia wa Yuda+ alipoona hayo, alikimbia kupitia njia ya nyumba ya bustani. (Baadaye Yehu akamfuatia na kusema: “Muueni yeye pia!” Kwa hiyo wakampiga ndani ya gari akipanda kuelekea Guri, karibu na mji wa Ibleamu.+ Lakini akaendelea kukimbia mpaka Megido, akafia huko. 28 Kisha watumishi wake wakambeba ndani ya gari mpaka Yerusalemu, wakamzika katika kaburi lake pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi.+
-