2 Mambo ya Nyakati 24:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na mwishowe wakaiacha nyumba ya Yehova Mungu wa mababu zao, wakaanza kuitumikia miti mitakatifu+ na sanamu,+ hivi kwamba kukawa na ghadhabu juu ya Yuda na Yerusalemu kwa sababu ya hiyo hatia yao.+ Methali 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwanangu, watenda-dhambi wakijaribu kukushawishi, usikubali.+ Methali 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Fikira za waadilifu ni adili;+ uongozi wa waovu ni udanganyifu.+ Methali 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Anayetembea na watu wenye hekima atakuwa na hekima,+ lakini anayeshirikiana na wajinga atapatwa na mabaya.+
18 Na mwishowe wakaiacha nyumba ya Yehova Mungu wa mababu zao, wakaanza kuitumikia miti mitakatifu+ na sanamu,+ hivi kwamba kukawa na ghadhabu juu ya Yuda na Yerusalemu kwa sababu ya hiyo hatia yao.+
20 Anayetembea na watu wenye hekima atakuwa na hekima,+ lakini anayeshirikiana na wajinga atapatwa na mabaya.+