Zaburi 140:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wale ambao wamepanga mambo mabaya moyoni mwao,+Ambao mchana kutwa wanaendelea kushambulia kama katika vita.+ Methali 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 moyo unaotunga hila zenye kuumiza,+ miguu iliyo myepesi kukimbilia ubaya,+ Methali 11:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Tamaa ya waadilifu hakika ni njema;+ tumaini la waovu ni ghadhabu.+ Yeremia 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Osha moyo wako uwe safi kutokana na ubaya mtupu, Ee Yerusalemu, ili upate kuokolewa.+ Fikira zako zenye makosa zitakaa ndani yako mpaka wakati gani?+ Mathayo 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 na kushauriana+ pamoja ili wamkamate Yesu kwa hila na kumuua.
2 Wale ambao wamepanga mambo mabaya moyoni mwao,+Ambao mchana kutwa wanaendelea kushambulia kama katika vita.+
14 Osha moyo wako uwe safi kutokana na ubaya mtupu, Ee Yerusalemu, ili upate kuokolewa.+ Fikira zako zenye makosa zitakaa ndani yako mpaka wakati gani?+