Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 140:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wale ambao wamepanga mambo mabaya moyoni mwao,+

      Ambao mchana kutwa wanaendelea kushambulia kama katika vita.+

  • Methali 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 moyo unaotunga hila zenye kuumiza,+ miguu iliyo myepesi kukimbilia ubaya,+

  • Methali 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Tamaa ya waadilifu hakika ni njema;+ tumaini la waovu ni ghadhabu.+

  • Yeremia 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Osha moyo wako uwe safi kutokana na ubaya mtupu, Ee Yerusalemu, ili upate kuokolewa.+ Fikira zako zenye makosa zitakaa ndani yako mpaka wakati gani?+

  • Mathayo 26:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na kushauriana+ pamoja ili wamkamate Yesu kwa hila na kumuua.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki