Zaburi 56:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wao wanashambulia, wanajificha,+Wao wanaendelea kuziangalia hatua zangu,+Huku wakiwa wameingojea nafsi yangu.+ Zaburi 120:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nasimama kwa ajili ya amani;+ lakini ninaposema,Wao wanataka vita.+
6 Wao wanashambulia, wanajificha,+Wao wanaendelea kuziangalia hatua zangu,+Huku wakiwa wameingojea nafsi yangu.+